Femi One Utawezana Challenge Download
Every other Kenyan on the internet, especially on Twitter are talking about the ‘Utawezana Challenge’ coined after Femi One’s hit song ‘Utawezana’ with Mejja.
Femi One has the hottest song out right now dubbed ‘Utawezana’ and thanks to Azziad Nasenya on social media has made the song even more popular by her dance moves and Kenyans have been talking about her and the challenge.

Femi One Utawezana lyrics featuring Mejja
Femi, ndo ule Mejja, ndo ule Mejja
Si ulikuwa unadai kuchapiana naye
Ishia ishia ishia
[Ricco Beatz, Mr 808]
[Verse 1]
[Femi One]
Okonkwo pole nimekuja ghafla (Usijali)
Ni vile we hukuwa umenibamba
[Mejja]
Aah Femi One pia kwangu we ni msoo
Kwanza vile ulituosha kwa ile verse ya ‘Ligi Soo’ eeh
[Femi One]
Nakupenda manze we hukuwa mhumble (Asante)
Legend, kwangu we ni icon
[Mejja]
Aah stori za icon kwanza weka mbali
Femi One mi hukuwa nimekutamani
[Femi One]
Eeh, Okonkwo umeanza kunichocha (Ah zii)
Nishow ni wapi uliniona
[Mejja]
Aah Femi One (Eeh) we unibamba
Kwa Instagram nikicheki izo mapaja
[hook: Femi One and Mejja]
Okonkwo na kitambi utawezana (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler
Okonkwo na kitambi utawezana (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler
[Verse 2]
[Mejja]
Iko haga yako iko
Naipenda ka mke nyumbani na mwiko
[Femi One]
Mejja umeanza kuniflirt, aaah
Unataka kunikula kama plata
[Mejja]
Hiyo kifua nataka kuichambua
Mi nataka kukulamba mpaka ushindwe kupumua ah
[Femi One]
Kidesign umeanza kunibamba
Nikikupea usiende kutangaza
[Mejja]
Ah, hiyo ni siri (Wazi) ka pin number
Sitaambia mtu sitaambia hata King Kaka
[Femi One]
Haina noma leo utanikula
Lakini ka ni ndogo usishinde ukikuja (Aaah)
[hook]
Okonkwo na kitambi utawezana (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler
Okonkwo na kitambi utawezana (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler
[Verse 3]
[Femi One]
Napenda machali wako na swagger (Okay)
Nikicheki fashion yako hapana
[Mejja]
Femi One hao machali looku looku
Ni looku tu lakini hawana kakitu
[Femi One]
Ah! Nataka kurombosa hadi chini
[Mejja]
Ah! Nataka kuikota huko chini
[Femi One]
Ah! Napenda kupakua nikiwa juu
[Mejja]
Ah! Siteti, napenda hiyo view
[Femi One]
Fungua bonnet (Okay) toa screw (Aha)
Mbona unanidai na usiniambie uongo
[Mejja]
Ah! Nakudai juu umetoka ghetto
Na we ni manzi hardcore manzi mathongo
[hook: Femi One and Mejja]
Okonkwo na kitambi utawezana (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler
[Outro: Mejja]
(Ah! Femi Uno, mtoto wa Khadija)
Femi One Utawezana challenge, Femi One Utawezana mp3 download, Femi One Utawezana lyrics.